Vipi tena unamfahamu nini?MR UNIVERSITY....HANDSOME.....!MREMBO WA KIUME......ZE SCRUB ZE BLACK DYE... du
Sasa kama wewe ni handsome kwa nini utemwe? Utakuwa na kasoro. Waambie kina dada kasoro zako ili wajue namna ya kukabiliana na wewe.Naposema ni kama mimi namaanisha alokutwa na yalo nikuta mimi...mpenzi wangu aliniacha mwaka 1 uliopita na akaolewa. Niliumia sana nikakata tamaa ya kupenda tena...ila naona kwa sasa maumivu yametulia.....nataka binti alotulia tena ningependa atoke hapa jamii forum....mashart ni kwamba huyo binti awe amewahi kuumizwa kama mm, najua na yeye atakua anafahamu ninh broken heart....jamani niko serious. 0784847753 contact mi tukiridhiana mambo mengine yataendelea. NB: Am handsome......
mmh, dinnah kuwa makini usiumizwe tena. Kupata mtu aliyeumizwa haimaanishi kuwa hatomuumiza mwingine. Binadamu ni wepesi wa kusahau na ni wachache ambao hawawafanyii wengine yale wasiyopenda wao kufanyiwa.Mimi hapa nimeumizwa tayari na nilianzisha na thread kabisa teheteheteett