Criss Alex
Senior Member
- Apr 18, 2012
- 111
- 10
Halloo wana JF mimi ni kijana muhtimu wa kidato cha nne na nilifanikiwa kupata four ya 33 nikiwa na D mbili ya biology na chemistry, cnauwezo wa kujiendeleza kutokana na ugumu wa maisha unaonikabili. Cna baba niko na mama nayeye hanauwezo wa kuniendeleza, anategemea msaada wangu ili mdogo wangu aliyeko darasa la 6 akihtimu darasa la 7 na kuingia form 1 niweze kumsaidia. Hvyo naombeni msaada wenu wadau! Email; crissalex1@live.com. Au nipigie +255719665022. Au +255688355306.