siku hiz halmashaur hazijaajiri,maombi yote ni sekretariet ya ajira,au wizara ya elimusumbawanga ukitaka hata kuwa mwalimu mkuu fasta unapata, we wahi pale halimashauri ya sumbawanga vijijini (office zipo sumbawanga mjini-halimashauri) akupangie shule mojawapo zile za kata kwa kuanzia utakuwa academic masta