khauka
Senior Member
- Jan 26, 2011
- 100
- 4
Helo wana JF, mi ni kijana wakiume umri 23 ni mwanafunzi wa chuo hapa dar natafta kazi ya temporary kwa mda wa mwezi 1 kuanzia jumatatu.. Kazi yoyote iliyo ya halali ilimradi nipate pesa kidogo yakujikim kwa mda huu walikizo.
Kwa yeyote anaeweza kunisaidia please help.
Kwa yeyote anaeweza kunisaidia please help.