KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Hivi Chama cha Makamba(ccm)sorry chama cha mpinduzi Hakina mda mrefu wakuanguka chali kina kila dalili japo kinadhani kitakuwepo milele!lakini kadri siku zinavyokwenda niwazi maisha yake yapo hatarini na mbaya zaidi wakulima wakija kujua nini wanatakiwa kufanya ccm lazima iwe kama kanu!