Ijuganyondo
Member
- Jan 13, 2011
- 62
- 1
Kama inavyojulikana mwanamke anapokuwa pregnant kama 7months hivi huwa haweki kabati ndani(v.i.p).sasa mama mmoja alikuwa preg hakuwa amevaa hiyo kitu,mtoto wake mdogo akawa ameona kunako na kukutana na zile pubic hairs akamwambia mama yake;"mama natabiri utazaa mtoto wa kiume"mama yake akashangaa akamuuliza umejuaje??! Mtoto akajibu "nimeona ndevu zimeanza kutokeza" tehee tehee hahaahaaaaaa