<br />hutakiwi kutabiri mabaya...aaah sorry ckuwa nimesoma jina lako b4.. "baba matatizo"
<br />
Huyu baba matatizo yupo sahihi kabisa.Mimi huwa napanda treni safar zangu zote za TABORA mpaka DAR.Huko njiani bora kusimuliwa kuliko kushuhudia.Hali ni mbaya sana.Kila siku ni matatizo.Mnaweza mkasimama mahali muda mrefu kisha mkaambiwa tatizo kufel kwa mashine iliyo mbele yenu.JEtutafika?