PE, asante kwa utabiri huu, kwa vile mtoa roho ni Israel na humpitia kila mtu mara sabaini fii saba kila siku ili kuhakikisha ile saa yake ikitimia, haipiti hata sekunde moja ya ziada.Katika kipindi cha miezi mitatu ijayo, serikali yetu itapata janga kubwa la kundokewa na kiongozi mmoja mzito sana. Wale wenye kufanya dua na maombi naomba mshiriki pamoja kumuomba Mwenyezi Mungu awalinde viongozi wetu, wasipatwe na mabaya yoyote kama vile ajali, magonjwa, nk.
Umemrithi Shehe yahya??Katika kipindi cha miezi mitatu ijayo, serikali yetu itapata janga kubwa la kundokewa na kiongozi mmoja mzito sana. Wale wenye kufanya dua na maombi naomba mshiriki pamoja kumuomba Mwenyezi Mungu awalinde viongozi wetu, wasipatwe na mabaya yoyote kama vile ajali, magonjwa, nk.
Afya kwa viongozi tu je na walalahoi wengine tufe?? ama hatuna faida??? duhhhNathamini sana michango yenu wananchi wenzangu mliochangia habari hii nzito kwa taifa letu. Ndani ya siku 90 (miezi mitatu), jambo hili litatokea, naomba radhi kwa wale niliowaudhi.
Tutumie vizuri mwezi huu mtukufu kuomba mola awalinde na kuwajalia siha njema viongozi wakuu wa serikali yetu. Ramadhan kareem, inshallah.
Katika kipindi cha miezi mitatu ijayo, serikali yetu itapata janga kubwa la kundokewa na kiongozi mmoja mzito sana. Wale wenye kufanya dua na maombi naomba mshiriki pamoja kumuomba Mwenyezi Mungu awalinde viongozi wetu, wasipatwe na mabaya yoyote kama vile ajali, magonjwa, nk.
<br />Natabiri aliyetoa hii thread ataanza yeye kabla ya kiongozi ili aende akahamasishe mapokez huko pagak
<br />Unatoa UTABIRI kwa kutumia MASABURI au?
<br />Natabiri aliyetoa hii thread ataanza yeye kabla ya kiongozi ili aende akahamasishe mapokez huko pagak
<br />Nani huyo, Jei kei? Mbona watu watakunywa mpaka asubuhi!
Jamani unaacha kutabiri umeme utakuja wa kutosha unatabiri vitu vya mtu kuondoka. Akiondoka si maisha yanaendelea kwa wengine. kwani tatizo nini.Katika kipindi cha miezi mitatu ijayo, serikali yetu itapata janga kubwa la kundokewa na kiongozi mmoja mzito sana. Wale wenye kufanya dua na maombi naomba mshiriki pamoja kumuomba Mwenyezi Mungu awalinde viongozi wetu, wasipatwe na mabaya yoyote kama vile ajali, magonjwa,