Natabiri Kigamboni Bridge Mwaka 2020 itakuwa hi

MziziMkavu huwatakii wadangayika mema. Kwa ufisadi unaoendelea unaamini litajengwa na kuwa worthwhile au tungojee maafa zaidi ya mv Bukoba? Mie kwa taarifa yako nitasahau kila kitu lakini siyo kupanda daraja hilo. Leo hii nawahurumia wanaopanda mikangafu ya Air Tanzania au kula vyakula na madawa yenye nembo ya TBS yaani Tanzania Bureau for Substandard. Tuombe Mungu lisijengwe ili kuepuka maafa ya kutisha. Tanzania uliyoiacha siyo ya sasa. Hukusikia wafanyakazi wa uhamiaji walivyo mabilionea kwa kuruhus unga na wahamiaji haramu kujazana nchini?
@mpayukaji Kwa maana hiyo Ufisadi hautokwisha hapo Tanzania? Nina imani hilo daraja litakuwepo Mwaka 2020 labda baada ya chama kingine kutawala nchini petu siyo chama cha Magamba unasemaje?
 
KATUNI(603).jpg
 
Mti sorry MziziMkavu Kutokana na watanzania kupenda kuchakachuliwa na kudanganywa, nina wasi wasi kama CCM itaondoka 2015. Kama wananchi wangekuwa watu wanaochukia ufisadi, Kikwete asingerejea madarakani iwe kwa haki au batili. Pia fahamu kuwa wataalamu watakaosimamia ujenzi wa daraja hilo ni wale wale. Sina imani na mfumo uliopo wala upinzani. Hebu angalia Chadema walivyotekwa na fisadi sabodooooo. we ache tu ni hatari. Umesoma madudu ya mali ya asili na uhamiaji kwenye magazeti ya leo?
 
Mti sorry MziziMkavu Kutokana na watanzania kupenda kuchakachuliwa na kudanganywa, nina wasi wasi kama CCM itaondoka 2015. Kama wananchi wangekuwa watu wanaochukia ufisadi, Kikwete asingerejea madarakani iwe kwa haki au batili. Pia fahamu kuwa wataalamu watakaosimamia ujenzi wa daraja hilo ni wale wale. Sina imani na mfumo uliopo wala upinzani. Hebu angalia Chadema walivyotekwa na fisadi sabodooooo. we ache tu ni hatari. Umesoma madudu ya mali ya asili na uhamiaji kwenye magazeti ya leo?
@mpayukaj unataka chama kipi kiunde Serikali Chama cha Mrema au CUF? au na sisi tuende chama chetu kipya? Ikiwa Chadema pia huna imani nacho je chama kipi utakuwa na imani nacho?
 
Swali la kwanza tu linalokuja ni kwa nini kukafanywa kiduara cha kurudi tena kwenye maji hapo mwishoni, kwa nini lisishuke moja kwa moja tu? Naona ni kama gharama za ziada tu.

Mkuu ni ili kupata elevation muafaka katika umbali mfupi ... yaani muinuko usiwe mkali sana.
 
Daraja linalojengwa kigamboni haliendani kabisa na michoro.Was the project scaled down? How come the cost are escalating by the day? Magufuli tunaomba majibu.
 
daraja halina mvuto kabisa na silo nililokuwa naona michoro yake huko nyuma. na pia walisema litakuwa la kufunguka pindi meli zikipita lakini kumbe ni kuhadaa watu.
 
Back
Top Bottom