Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Si kwamba nataka kushindana na yule mgonjwa wetu wa Malaria, ila tu natabiri mwaka huu tutashuhudia mazishi rasmi ya CCM pale Dodoma wakati wa Mkutano wao Mkuu wakati wa chaguzi za ndani za chama hicho cha kifisadi.
Na hapo ndiyo itakuwa mwisho wa JK na siasa zake za hovyo.
Na hapo ndiyo itakuwa mwisho wa JK na siasa zake za hovyo.