jaman naomba msaada wa ushauri kwan niko kwenye wakat mgumu mm n kijana wa miaka 33 nina shida kwenye njia ya haja kubwa napata choo kwa shida yaan naumia sana na mwisho choo kinaambatana na damu nmeuliza watu wameniambia ni haemoroid,ila kwa maelezo niliyopewa n kwamba haina dawa labda ni mpaka zkue ztoke nje ndo zkatwe.nachoomba kufahamishwa ni km kuna njia ya kufanya nipunguze hilo tatizo kwan tumbo linajaa ges kias kwamba mguu wangu wa kushoto unauma ila nikishatoa ges napata afuen kias.niko kwenye mitihan ya university nashindwa hata kusoma kwan ges inayotoka ina haufu kali kias nashndwa kukaa kwenye discussion.nimekua nakunywa maji mengi kias cha lita 3 lakin stil naona hali inaz kuwa mbaya,tafadhal mwenye mchango wa mawazo naomba ila km huna la kunsaidia p,se uskejell kwan sio utan ni hali ngumu napitia.asanten