chuwaalbert
JF-Expert Member
- Sep 17, 2010
- 3,598
- 2,115
Ndugu wana JF, leo mwaka wa 2011 unaisha. Kama kawaida Rais atatuhutubia na kutueleza vipaumbele vyake vya mwaka unaofwata. Ubaya ni kuwa mengine anakuja fanya ambayo hayakuwa kipaumbele chake, matokeo yake anayatekeleza VIBAYA! Kwa nfano, suala la Katiba mpya, aliibuka nalo hewani pale alipotuhubia mwishoni mwa mwaka jana, wakati kwenye kampeni za kuusaka ulaji hili halikuwa kipaumbele chake na chama chake! Mwaka huu ataibuka na lipi?
1. Tungependa kupata ufafanuzi wa VITAMBULISHO vya TAIFA. Zoezi linaendeleaje?
2. Tngependa kujua anayachukuliaje mapendelezo ya wadau kuhusu sheria ya Katiba mpya.
3. Tungependa kujua msimamo wake kuhusu kulipwa kwa DOWANS!
Nawasilisha!
1. Tungependa kupata ufafanuzi wa VITAMBULISHO vya TAIFA. Zoezi linaendeleaje?
2. Tngependa kujua anayachukuliaje mapendelezo ya wadau kuhusu sheria ya Katiba mpya.
3. Tungependa kujua msimamo wake kuhusu kulipwa kwa DOWANS!
Nawasilisha!