komredi ngosha
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 382
- 71
Wan Jf, nilisikia hivi majuzi wabunge wamepewa milioni 90 kila mmoja kununua magari. Hongera zao. Sasa twende Gongo la Mboto. Matokeo ya uzembe wa wa serikali yameleta maafa na kuua wenzetu. Napendekeza fidia iwe milioni 100 kwa familia iliopoteza ndugu yao. Ndio, thamani ya uhai wa Mtanzania ni kubwa zaidi ya gari ya mbunge. Pia watu hawa wameuliwa ktk maisha yao ya kawaida, wengine wakiwa wanategemewa na jamaa zao hivyo kuacha pengo kubwa ktk maisha yao. Nawasilisha.