kilolambwani
JF-Expert Member
- Dec 3, 2010
- 395
- 75
Bado sijakata tamaa, nasubiri hotuba ya rais wangu dr. dr. dr. Kikwete kutuhutubia kwa kumaliza mwezi januari. Nasubiri nimsikie kuhusu dowans, mgao wa umeme, maandamano ya wanavyuo, kuwapa pole ndugu wa waliofiwa na ndugu zao kule Arusha, wananchi kudai haki zao walizonyang'anywa kule Mbarali na Babati. Nasubiri kwa hamu.