don-oba
JF-Expert Member
- Dec 8, 2011
- 1,387
- 677
Pasco umekuwa kipofu!
Ina maana wewe hujui kanuni za bunge?
Bunge lina taratibu zake kupokea taarifa rasmi FULL STOP.
sijaona tatizo kwa naibu spika
hizo taarifa wanasubiri ni kutoka kwa madaktari waliomfanyia POSTMOTERM? Spika, naibu spika wote ni CCM na ndio serikali. Waziri wa mambo ya ndani yuko humo. Huu ni ukosefu mkubwa wa nidhamu katika bunge letu.