Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Pointi za mafyatuNiggas in paris
Pointi za mafyatuNiggas in paris
Kuna tetesi humum kuwa wa kwake ni Wasira....asante kwa taarifa,ila wakwako ni nani?
Iwapendeze wakuu;
Akiwa katika harakati za kumjibu Wassira juu ya swala lake la kutochaguliwa kwa kuwa hana mke kijana huyu (Joshua Nassari) mbele ya Kiongozi wake wa Kitaifa alitamka kuwa akiwa Mbunge basi atamuoa Mhe. Halima Mdee ili Jimbo lake la Arumeru Mashariki linufaike mara dufu kwa kuwa na Wabunge wawili.
Nimeshindwa kujua kama ni akili zake ama ni za jirani manake nimejiuliza; Je ni kweli kwamba hajui ama hafahamu kuwa hata akijaliwa hilo ambalo yeye amesema anamw
Mmh! una akili za kitoto!
iwapendeze wakuu;
akiwa katika harakati za kumjibu wassira juu ya swala lake la kutochaguliwa kwa kuwa hana mke kijana huyu (joshua nassari) mbele ya kiongozi wake wa kitaifa alitamka kuwa akiwa mbunge basi atamuoa mhe. Halima mdee ili jimbo lake la arumeru mashariki linufaike mara dufu kwa kuwa na wabunge wawili.
Nimeshindwa kujua kama ni akili zake ama ni za jirani manake nimejiuliza; je ni kweli kwamba hajui ama hafahamu kuwa hata akijaliwa hilo ambalo yeye amesema anamwomba mungu ili litimie haliwezi kamwe kubadilisha nafasi aliyo nayo halima katika kutekeleza wajibu wake kwa watu wa kawe na vitongoji vyake?? Lakini hata kama ni ndoto hivi kumbe anachotaka yeye si tu kumuoa halima kama mke bali anataka kufaidi ama kupata faida kutoka kwa halima kwa kupitia nafasi aliyo nayo kama mbunge!
Vijana kwa kweli kazi tunayo ugonjwa ni ule ule wa kujibizana na kukosa kipi cha kuzungumza kwa wakati gani???
"small minds discuss people,average minds discuss events,and great minds discuss ideas"
bila shaka ulitumia masaburi kijana mwenzangu tena mdogo wangu. Kwanza kitabia hawaendani, halafu hajaeleza wameanza uhusiano lini mpaka atangaze kumuoa mdee, na mdee haijulikani kama yuko tayari kuolewa na kijana kama nasari.
Ameteleza, akiendelea na ujinga wake ataanguka
Hivi January Makamba ana mke, Zitto kambwe je? sasa kwa nini iwe Nassari tu! Mke wa nini kwani bungeni wanaenda kulea watoto?
Mzee wa kaya na lundo la wake mjengoni mbna atusemi?