Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 9,382
- 14,082
mm MDEE kiumri ni mkubwa kuliko Nasari na kwa mujibu wa mila za kimeru mme lazima awe na umri mkubwa kuliko mmke
Mdee miaka 34 au 35
Nassari miaka 27
huyu mleta mada na yeye kichwa nazi tu..
mm MDEE kiumri ni mkubwa kuliko Nasari na kwa mujibu wa mila za kimeru mme lazima awe na umri mkubwa kuliko mmke
mm MDEE kiumri ni mkubwa kuliko Nasari na kwa mujibu wa mila za kimeru mme lazima awe na umri mkubwa kuliko mmke
Iwapendeze wakuu;
Akiwa katika harakati za kumjibu Wassira juu ya swala lake la kutochaguliwa kwa kuwa hana mke kijana huyu (Joshua Nassari) mbele ya Kiongozi wake wa Kitaifa alitamka kuwa akiwa Mbunge basi atamuoa Mhe. Halima Mdee ili Jimbo lake la Arumeru Mashariki linufaike mara dufu kwa kuwa na Wabunge wawili.
Nimeshindwa kujua kama ni akili zake ama ni za jirani manake nimejiuliza; Je ni kweli kwamba hajui ama hafahamu kuwa hata akijaliwa hilo ambalo yeye amesema anamwomba Mungu ili litimie haliwezi kamwe kubadilisha nafasi aliyo nayo Halima katika kutekeleza wajibu wake kwa watu wa Kawe na vitongoji vyake?? Lakini hata kama ni ndoto hivi kumbe anachotaka yeye si tu kumuoa Halima kama mke bali anataka kufaidi ama kupata faida kutoka kwa Halima kwa kupitia nafasi aliyo nayo kama Mbunge!
Vijana kwa kweli kazi tunayo ugonjwa ni ule ule wa kujibizana na kukosa kipi cha kuzungumza kwa wakati gani???
Iwapendeze wakuu;
Akiwa katika harakati za kumjibu Wassira juu ya swala lake la kutochaguliwa kwa kuwa hana mke kijana huyu (Joshua Nassari) mbele ya Kiongozi wake wa Kitaifa alitamka kuwa akiwa Mbunge basi atamuoa Mhe. Halima Mdee ili Jimbo lake la Arumeru Mashariki linufaike mara dufu kwa kuwa na Wabunge wawili.
Nimeshindwa kujua kama ni akili zake ama ni za jirani manake nimejiuliza; Je ni kweli kwamba hajui ama hafahamu kuwa hata akijaliwa hilo ambalo yeye amesema anamwomba Mungu ili litimie haliwezi kamwe kubadilisha nafasi aliyo nayo Halima katika kutekeleza wajibu wake kwa watu wa Kawe na vitongoji vyake?? Lakini hata kama ni ndoto hivi kumbe anachotaka yeye si tu kumuoa Halima kama mke bali anataka kufaidi ama kupata faida kutoka kwa Halima kwa kupitia nafasi aliyo nayo kama Mbunge!
Vijana kwa kweli kazi tunayo ugonjwa ni ule ule wa kujibizana na kukosa kipi cha kuzungumza kwa wakati gani???
Comrade umeshindwa kuitambua falsafa ya matamshi ya bwana Nassary iko hivi kama kuoa ni hoja mbona Halima mdee ni mbunge na hajaolewa? kama ivo basi atamuoa halima ambaye ni mbunge na hajaolewa,muwe makini mnapo sikiliza hoja za watu sio kukurupuka na kuzipatia majibu,
Hii story kama ya kuungaunga vile! Shida iko wapi kama wataoana? Mzee Malecela na Anna Makinda walikuwa wote mjengoni halikuharibika neno! Vivyo hivyo Mzee Msekwa (akiwa Speaker) na Anna Abdalla, baadae Speaker Sitta na Magreth Sitta. Leo hii kwa nini iwe nongwa?
Nimefurahi sana kupata taarifa kutoka kwenye gazeti la Majira la leo (Machi 19,2012) kwamba Joshua Nassari anataka kumuoa Halima Mdee, Mbunge wa Kawe. Kama ilivyo ada tumekuwa tukiona wapendanao wakisaidiana kupiga kampeni ili kuhakikisha ushindi unapatikana. Ninamshauri Mdee akimsaidie mchumba wake.
Wewe uko CLOUDS nini?
aah aah kazi ipo hapa...Wewe ni Kibonde!!!
unajua hata kula supu ya vyura nayo ni dawa tosha