mgeni wenu
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 3,664
- 1,730
Mgombea wa kiti Cha ubunge katika Jimbo La Arumeru Mashariki(CHADEMA)Joshua Nassari,jana katika Viwanja vya Patandi(Tengeru)
ameendeleea kuchangiwa shillingi hamsini na mia mia katika Mkutano wa Hadhara ambapo alikusanya zaidi ya Shillingi Laki5ni kama kurudishiwa Gharama Za mafuta na chakula ili aendelee na kampeni zake.
Mkutano uliohudhuriwa zaidi na akina mama wa Soko La Tengeru.
Wakati huohuo Polisi walipata wakati Mgumu sana kuelekeza Misafara ya CCM na Chadema pale ambapo Msafara wa CHADEMA ulipokuwa ukiondoka Tengeru kuelekea USA River ilipo kambi ya CHADEMA na ule wa CCM uliokuwa na Mabasi yakirudisha watu ARUSHA mjini walipokutana uso kwa Uso..
Leo CHADEMA wana mikutano32 ambayo itahutubiwa na wabunge wake mbali mbali huku Mgombea akihutubia Mikutano mitatu hadi Mitano kwa Siku
ameendeleea kuchangiwa shillingi hamsini na mia mia katika Mkutano wa Hadhara ambapo alikusanya zaidi ya Shillingi Laki5ni kama kurudishiwa Gharama Za mafuta na chakula ili aendelee na kampeni zake.
Mkutano uliohudhuriwa zaidi na akina mama wa Soko La Tengeru.
Wakati huohuo Polisi walipata wakati Mgumu sana kuelekeza Misafara ya CCM na Chadema pale ambapo Msafara wa CHADEMA ulipokuwa ukiondoka Tengeru kuelekea USA River ilipo kambi ya CHADEMA na ule wa CCM uliokuwa na Mabasi yakirudisha watu ARUSHA mjini walipokutana uso kwa Uso..
Leo CHADEMA wana mikutano32 ambayo itahutubiwa na wabunge wake mbali mbali huku Mgombea akihutubia Mikutano mitatu hadi Mitano kwa Siku