KOMBAJR
JF-Expert Member
- Nov 15, 2011
- 5,827
- 1,271
Jinsi Dogo janja anavyowapelekesha magamba wamefikia hatua ya kupanga mikakati michafu dhidi ya Nassari lakini kwakuwa amefunikwa na damu ya yesu hila na mipango yote mibaya inagonga mwamba!
Mytake:Jamani CCM shindaneni kwa sera na mkizidiwa uungwana ni kukubali na wala siyo kupanga mikakati ya kumdhuru Nassari.
Mytake:Jamani CCM shindaneni kwa sera na mkizidiwa uungwana ni kukubali na wala siyo kupanga mikakati ya kumdhuru Nassari.