Kingcobra
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,000
- 309
Kama hiyo ndiyo tabia ya zitto basi nchi hii bado tuna safari ndefu sana ya kupata wazalendo wa kweli wenye lengo genuine la kuikomboka kutoka kwenye makucha ya ccm. Najiuliza sasa tumwamini nani!! Kila kiongozi awe mzee au kijana anasukumwa na maslahi binafsi. Kazi kwelikweli.Nikiwa kama mwandishi wa habari, nimewahi kuandika humu ndani tabia chafu za mbunge Zitto Kabwe. Zitto anajiandikia habari, analazimisha ichapishwe bila kufanyiwa uhariri.
Katika watu watakaoliingiza hili taifa katika hatari, ZITTO ni mmoja wao. Anafika kuwahonga waandishi ili waandike habari zake na ziwekwe ukurasa wa mbele. Uongozi haulazimishwi, uongozi ni kazo watu wanapewa na wapiga kura. Jipangeni kuhusu Zitto.
Kazi nzuri Nassari, CCM- Inamsadia zitto kwenye hizi propaganda za kuvuruga CHADEMA