Nassari yupo Kanisani...safi sana..sasa waislam waliokuchagua shukrani zao utazitolea wapi?
Huyu Lugola muda si mrefu atahamia Chadema!
Nassari yupo Kanisani...safi sana..sasa waislam waliokuchagua shukrani zao utazitolea wapi?
Nassari yupo Kanisani...safi sana..sasa waislam waliokuchagua shukrani zao utazitolea wapi?
Aende na Msikitini as watu wa waliompigia walitoka dini zote
Mungu ni mmoja acha udini ...nani kakuambia Mungu wapo zaidi ya mmoja?Nassari yupo Kanisani...safi sana..sasa waislam waliokuchagua shukrani zao utazitolea wapi?
nassari yupo kanisani...safi sana..sasa waislam waliokuchagua shukrani zao utazitolea wapi?
Sijawahi kumuona Kanisani hapa kwetu Kibara. Ni zaidi ya ukristu wake. Sasa hivi kila magamba anajitahidi aonekane anawajali wananchi na njia pekee ni kujifanya wako sambamba na wapiganaji. Umesikia maajabu ya Lowasa kuomba kuhamia CDM?
sijapata sababu ya uwepo wa huyo mbunge wa magamba au na yeye yupo arumeru siku hizi?
Nasari alikwenda kanisani kumshukuru Mungu siyo kuwashukuru wakristo! Nchi yetu haina dini, ila wananchi wake, Nassari akiwepo, wana dini zao. Wewe ritz una tatizo la udini, usijaribu kutugawa. Waislamu hao waliompigia Nassari, walikua wanapiga kura wakijua ni muumini wa imani ya Kikristo. Au unataka kusema tumefika mahali pa kuchaguana kwa itikadi zetu za dini?
Hapo ni kanisani unless ukituthibishia kuwa Kange Lugora ni mwislamu na sio mkristu ndipo tutaanza kuhoji. kama ni mkristu mwenzake hakuna sababu ya kuhoji uwepo wake kanisani hapo na hata kumsindikiza mbunge mwenzie kumshukuru Mungu
acha upofu wa udini kanisa ni sehemu ya kusali na kukutana na waumini wenzie ila kwa suala la wapiga kura amekuwa akiitisha mikutano mbalimbali kushukuru wapiga kura na kueleza mikakati ya maendeleo ya jimbo letu! au unataka aanze tena kuzunguka misikitini, kanisa katoliki, anagelikana, baptist, shia, sunni, mjahidina , jehova,budhist n.k kutoa shukrani? Na ufahamu hapo alipokuwa ni kanisa la lutheran ambapo yeye ni muumini hapo kuna makanisa mengi sana ya kikikristu arumeru hakwenda,na mbona umekimbilia kuulizia waislamu kwa nini hujaulizia wapagani wasiomuamini mungu ambao wapo huku, au wanaoamini dini ya kienyeji ambao hutambikia chini ya miti? milimani? kwenye mapango? mito mikubwa au misituni? unataka na kote huko aende akatoe shukrani? huo upofu utakutoka lini???
Mkuu ebu angalia vizuri Heading ya hii thread inasemaje ngoja nikukumbushe..
"Nassari akisindikizwa na Kangi Lugola kutoa shukrani Kanisani"
Sasa sijui hayo maneno yako umeyatoa wapi.
Nassari yupo Kanisani...safi sana..sasa waislam waliokuchagua shukrani zao utazitolea wapi?
Mkuu ebu angalia vizuri Heading ya hii thread inasemaje ngoja nikukumbushe..
"Nassari akisindikizwa na Kangi Lugola kutoa shukrani Kanisani"
Sasa sijui hayo maneno yako umeyatoa wapi.
Ritz ckushangai kwani wa2 wa ccm mnazalisha udini baada ya kushindwa siasa.MBONA JK HUWA ANAHUTUBIA TAIFA KUPITIA WAZEE WA KIISLAMU WA DAR? kama kuna wakristo mbona wote mmo huwa wanavaa barakhashia?