ki ukweli maji ni muhim sana pengne kuliko hayo ma flyovers nyiee mnayajua.katika uchakarikaji wa kibiashara wanawake wako weng mno,sasa unakuta anapoteza more tha six hours anahaingakia maji..mpaka aje aende kwenye biashara zake ameshapoteza masaa 7,anauza uza kidogo watu wa ushuru wa soko hawa hapa wanataka chao,inakuwa unyanyasaji kwa mama huyu.hata mim naunga mkono hoja ya mh.nassari