mansakankanmusa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,163
- 787
ile audio ksms muliyoweka kwenye wavuto, wekeni hapa
tembea uone ndugu yangu. Umesema ya TRA nikakumbuka. Pale TRA ya ARUSHA kuna mabinti wawili mapacha wa kichaga waliajiriwa mwaka jana. Walinifanya niwaze sana kwa kweli. Nji hii haiko salama tena.
wakuu nimemsikiliza nasari muda mfupi uliopita alichosema kweli kina manufaa tunataka fly overs barabara nne nne na madaraja ya kifahali wakati huduma ya msingi hasa na maji kwa wananchi hawana tujadili
Huyo Nassari hajuwi uchumi ni nini.
Ikiwa Dar ina wakazi million 5 na kati yao million 1 wanapoteza masaa 4 kila siku barabarani ina maana kwa siku wanapoteza miaka zaidi ya 365 na ukiwapunguzia nusu ya huo muda wanaopoteza njiani ina maana una faida ya miaka 182. Na kila unapowacha hilo tatizo huo muda haupunguwi unazidi.
tanira1 Sio barabara za kifahari, dhumuni ni kupunguza msongamano ili tuwahi kazini tuweze kushughulikia maji, imagine mtu una drive 21 km for three hours (tegeta to masaki) kila siku X2 means 6 hours back and forth... think.
hakuna suala la kujadili hapa,
wakuu nimemsikiliza nasari muda mfupi uliopita alichosema kweli kina manufaa tunataka fly overs barabara nne nne na madaraja ya kifahali wakati huduma ya msingi hasa na maji kwa wananchi hawana tujadili
Huyu jamaa wakati akigombea ubunge kwenye kampeni zake alihaidi kutatua kero mbalimbali za wananchi kama wakimchagua yeye kero zao zitatatuliwa sasa atatue asilalamike kama ameshindwa ajiuzulu ubunge,CCM mwaka 2010 ilikuwa na ilani yake ya uchaguzi iliinadi nchi nzima na wananchi wakaikubali ndiyo maana waliichagua sasa hasiipangie CCM cha kufanya haiache itekeleze ahadi zilizomo kwenye ilani yake ikiwemo ahadi ya ujenzi wa Flyovers,kama kero za Arumeru mashariki zimemshinda kutatua kama alivyohaidi aachie ngazi wapo wanaoweza kutatua kero hizo watachukua nafasi yake,siyo yeye tu wabunge wote wa chadema hakuna walichotekeleza kwa yale waliyohahidi majimboni mwao wakati wa kampeni mwaka 2010,kama kuna mtu anabisha ataje jina la mbunge wa chadema ,jimbo atakalo na kero alizohaidi kuzitatua na ambao tayari zimetatuliwa mpaka sasa, wananchi wanahoji sana huku mtaani ikibidi nawashauri wabunge wa chadema mfanye mikutano majimboni mwenu muwaambie wananchi ni ahadi ngapi mmeshazitekeleza kati ya zile mlizoahidi wakati wa kampeni za uchaguzi mwaka 2010, watu wamechoka makelele yenu mnaropoka sana vitendo zero!
tanira1 Sio barabara za kifahari, dhumuni ni kupunguza msongamano ili tuwahi kazini tuweze kushughulikia maji, imagine mtu una drive 21 km for three hours (tegeta to masaki) kila siku X2 means 6 hours back and forth... think.
hakuna suala la kujadili hapa,
tanira1 Sio barabara za kifahari, dhumuni ni kupunguza msongamano ili tuwahi kazini tuweze kushughulikia maji, imagine mtu una drive 21 km for three hours (tegeta to masaki) kila siku X2 means 6 hours back and forth... think.
hakuna suala la kujadili hapa,
Huyo Nassari hajuwi uchumi ni nini.
Ikiwa Dar ina wakazi million 5 na kati yao million 1 wanapoteza masaa 4 kila siku barabarani ina maana kwa siku wanapoteza miaka zaidi ya 365 na ukiwapunguzia nusu ya huo muda wanaopoteza njiani ina maana una faida ya miaka 182. Na kila unapowacha hilo tatizo huo muda haupunguwi unazidi.
mkuu point of corection hapo uliposema nassari ametiririka kama mkongwe....ilitakiwa uandike "ametiririka zaidi ya mkongwe"..