Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,216
- 113,510
Wote wana makosa hapo.
Naona umeandika kama Nasra....
Mie namshangaa huyo mbwira, alikuwa wapi siku zote asimrestishe in Piis huyo Nasra???
Nipo hapa Kaizer, nihakikishie tu kuwa hunitafuti kwaajili ya kuniburuza na gari lol.
Pia una maana kwamba adhabu za usinzi ni kifo au sielewi kitu?
Babu DC!!
Hahaha! Wacha nikuje kupata mema ya nchi...mimi tena? Ntake radhi, mi nakutafutia mema ya nchi
unajua nini...mwanamke ni wa kumuwazia mema na kumtakia mema hata kama kakuudhi....hayo ya adhabu anayajua Mwenyezi Mungu peke yake...sisi haturuhusiwi kuhukumu
come this way
Bora umekuwa mkweli NN, manake hapa naona watu wameanza kumshambulia Nasra kwa matusi alotoa kwa mumewe na wamesahau kama chanzo cha yote ni fumanizi la mumewe!...Wote wana makosa hapo.
Bora umekuwa mkweli NN, manake hapa naona watu wameanza kumshambulia Nasra kwa matusi alotoa kwa mumewe na wamesahau kama chanzo cha yote ni fumanizi la mumewe!...
hivi huyo mume angekuwa katulia na mke wake hayo yote yaliyotokea yangetokea?
Una uhakika?nasra started b4 sema 2 yey hakufumaniwa mapema coz ktk hayo ma2c kadai ht watoto c wa mchiz mins she started as early as they got married
Una uhakika?
Nasra kumwambia husband kuwa watoto sio wake huoni kuwa ni hasira?
Nasra kumwambia husband kuwa watoto sio wake huoni kuwa ni hasira?
Hasira za kufumania bana, inauma umwamwini mtu afu uje ungundue kuwa uaminifu wako ni bure... Ndio mana nasema labda manake kumbuka hawa walikuwa vitani,.. Sina hakika kama mke alikuwa na tabia ya kumcheat husband,...hapa inaonyesha mke alianza kuhangaika na bwana mwingine baada ya kugundua kuwa mumewe sio mwaminifu,...Hapa mimi siamini hasira kivp hili neno awe analirudia rudia kila wanapo kutana na huyo mme? :crazy:
Afu unaeza kuta wala hakuna ukweli wowote, ni vile amepata maumivu makali moyoni sasa akaamua kuropoka hivyo ili angalau na huyo mumewe nae aumie kama yeye!
In short Nasra aliathiriwa mno na tukio la kumfumania mumewe, mahangaiko yote aliyoyafanya baada ya tukio ni katika kujipooza tu wala hakuwa anamaanisha kutoka ndani ya moyo wake!...ndio mana wala sio haki kumlaumu/kumuhukumu.
Ni kweli NN,.. Wanawake wa aina hiyo wapo sana... Ujue mimi nimesema labda ni hasira ndizo zimempelekea kusema hivyo manake kwanza amesema vitu vingi sana kumhusu huyo mumewe...Inaweza kuwa ni hasira tu na inaweza kuwa kweli kuwa hao watoto siyo wake kwani wapo wanawake ambao huwadanganya waume zao kuhusu watoto.
Suala la ngoma sasa ni la wote wawili manake mume kamwaga mboga mke kamwaga ugali...Ka ngoma kakinasa je?
Je ungekuwa wewe ndo umetendewa hivyo bado ungesema hayo? Au angekuwa ndugu yako ungesemaje?
Babu DC!!