Nasita kuendelea kuandikia Gazeti

"Wengi hapa tunaifurahia JF lakini ni wangapi wamekuwa wakijitolea kusaidia kwa namna yoyote ile ukiondoa watu wale wale kam 10 hivi kati ya 5000? Je wale wanaoisimamia wakiwa na shughuli zao na mambo yao binafsi yanakwama kwa sababu ya JF wakiomba msaada kwa fisadi waupokee? waukatae?"

NIMEGUSWA.
ASANTE KWA KUNIKUMBUSHA WAJIBU WANGU KABLA YA KUSEMA AU KUANDIKA.
INVISIBLE NAOMBA MUONGOZO WA KUCHANGIA DUNDULIZO LANGU.

OMUTWALE SSEBO
Wakipewa wapokee maana watanzania tunalilia lilia sana lakini hatupo tayari kuchangia ikitakiwa.
 
Mwanakijiji unaliacha Tanzania Daima?
Mimi ni msomaji mzuri wa Tanzania daima ya jumapili mbona sijawahi kuona makala ya mwanakijiji? au alikuwa anatumia id nyingine?
Kila la heri mwanakijiji lakini bado tulipenda kuona unatuandikia maana vita na mafisadi haitaki tukate tamaa.
Kweli hata sisi tunatumia feza hasa kwa ajili ya internet. Lakini we dont care. Tutapambana kwa siraha ndogo ndogo tulizonazo.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom