Ndiyo maana kila wakati Rais kikwete anapojaribu kukana tuhuma za ikulu kuhusika anashindwa kujenga hoja,matokeo yake anaishia kutuuliza wananchi ;kwa nini tunadhani serikali imtese Dr ulimboka? na anamaliza kwa kusema serikali haikuwa na sababu za kumteka Ulimboka,(anafunga mjadala)
ukisoma between lines maelezo haya ya RAIS yanaacha maswali mengi sana.ikwemo hili la kwamba kumbe serikali huwa inatabia ya kuteka/kutesa/kuua raia wake kama kuna sababu,sema kwa ULIMBOKA serikali haikuwa na sababu na huu ndo utetezi wa jk
ukisoma between lines maelezo haya ya RAIS yanaacha maswali mengi sana.ikwemo hili la kwamba kumbe serikali huwa inatabia ya kuteka/kutesa/kuua raia wake kama kuna sababu,sema kwa ULIMBOKA serikali haikuwa na sababu na huu ndo utetezi wa jk