Likwanda
JF-Expert Member
- Jun 16, 2011
- 3,910
- 1,131
samani Likwanda kama nimekukwanza. hata hivyo kwani kuwaaga wapendwa kuna tatizo gani?
Pole sana mkuu, umeonesha ustaarabu mkubwa sana hii inanifanya niamini kile ulichopost kinatoka moyoni na sio kupoteza muda, pia nawashukuru sana wote waliochangia kwa kuni quote pia wameonesha ustaarabu mkubwa sana. Kila la kheri msalimie shem na familia yote.