Your english is so poor that it has a good number of grammatic errors.If you are not good in grammar,why are you expressing yourself in english?Hiyo lugha ina wenyewe wewe unajifanya kuandika kiingereza wakati kiingereza chenyewe kimejaa broken tupuUkitaka kufanikiwa Tanzania usigome kwa sababau maisha yamekubana na huna jinsi au kwa jazba kwa sababu umeona rafiki yako au mtu unaye mfahamu amekuwa tajiri ghafla. Ili migomo iwe na manufaa ni lazima kuwepo na determination and with that determination there should be a determined destiny of either getting what your fighting for or dying without, there should be no compromise. However, because of umaskini and not having a common determination and well defined reason for what your fighting for its easy to get apart and to that end you never get what you desired. Believe me what is happening in bongo land in the so called migomo it is a joke of the day, all participants they never have a common understanding.
Look on the recent arab spring revolution, it was a die or live commitment, it was a lose - win situation and not looking for compromises as its used to happen in Tanzania, so called peace loving country.In politics there is no such terminologies as win-win situation, there is only win-lose situation and we should learn it. So what is called mgomo in Tanzania is basically fighting for individual jealous
yeah,ni kwel wauguz wa mkoa wa MARA wamegoma na wamesababisha vifo vya watoto wa3 na mtu mzima m1.
source ITV
waondoke zao nao waache kulinga wafanye kazi,. Watu hawana msimamo tuliwaungs mkono kipindi kile wakalegeza msimamo,. Hatukubali waendelee kutesa watu tena
Waondoke zao nao waache kulinga wafanye kazi,. Watu hawana msimamo tuliwaungs mkono kipindi kile wakalegeza msimamo,. Hatukubali waendelee kutesa watu tena
Niko kwenye kikao so sijui nini kinaendelea ila kuna mtu kapita hospitali ya mkoa niliko anasema madaktari wamegoma, hivi inatokea na maeneo mengine pia au?
Shiiiiiii! Sema pole pole jamaa wasikusikie.
naona wanawaza kwa kutumia ''matumbo'' yao!
mliunga mkono jf, lakini kumbuka wananchi wasiojua kusoma na kuandika walishapotoshwa na wanaharakati wapumbavu wanaojipendekezd ili wapate kile cheo ambacho tutakifuta kwenye katiba mpya. If ur memory is intact hata humu madoc walitukanwa na kukejeliwa sana. Kwa mtu ambaye cognition yake iko vizuri hawezi kuendelea kugoma na kiongozi wa nchi alisema atayashughulikia,hata kama humwamini na kumkubali. Wananchi wataona hutaki kuwahudumia ila umekuwa mwanasiasa. Sasa hivi watakaporudi na kauli mbiu ya kukumishwa kwenye mazungumzo hata wananchi watajua nini wanaongea.