Nimesikia fununu kuwa lile jengo lefu la UvCcm sasa unaweza book apartment Hebu wanaojua watuambie na je nikinunua nitapewa hati? Wakati mmiliki ni CCM ?
mimi nataka kuuza magwanda ya chadema kutoka afrika kusini natafuta apartment kama nitapata hapo kwenye hilo jengo la uvccm nitafurahi sana.
maana nimetafuta katikati ya jiji nimekosa nisaidieni waungwana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.