Nasikia jengo la UVCCM wanauza apartment Hebu nijuze je sisi wana opozisheni tutapat?

Songasonga

Senior Member
Mar 13, 2011
152
14
Nimesikia fununu kuwa lile jengo lefu la UvCcm sasa unaweza book apartment Hebu wanaojua watuambie na je nikinunua nitapewa hati? Wakati mmiliki ni CCM ?
 
mimi nataka kuuza magwanda ya chadema kutoka afrika kusini natafuta apartment kama nitapata hapo kwenye hilo jengo la uvccm nitafurahi sana.
maana nimetafuta katikati ya jiji nimekosa nisaidieni waungwana.
 
kwenye masuala ya kupangisha haulizwi chama bwana mkubwa.we
nenda fungua business na kwenye hayo magwanda changanya na vazi la kijani pia
 
Back
Top Bottom