nadhani ulipost muda ambao kinywaji kilikuwa kimeanza kupanda kichwani.
Kwa hili nimekukubali.kumtambua mwenda doro....si lazima umwone akikaanga mapera
Ni veluer au zile za promosheni.nadhani ulipost muda ambao kinywaji kilikuwa kimeanza kupanda kichwani.
Wanajanvi ninashukuru saana tena sana.Leo nifurai saana tena saana baada ya kupost hii thread ya kuwapongeza na kuwashuru saana kwani wewe uliyefungua sijui unataka nini lakini umeifungua hii thread.
Ninakushukuru saana.