Hasson Da Melles
Member
- Aug 11, 2012
- 76
- 3
katika Application zangu Nilifanya Bila Kushauriwa
nilianza Na
Ardh cozi 3
IFM cozi 3
na SAUT cozi 2
Maajabu nimechaguliwa ya Mwisho yaani SAUT.... kilichoniudhi IFM wamekomba mpaka Watu Ambao Hawajakichagua Mamamamama hii Imenishangaza Sana inaonyesha Ni "Institute Of Failure Managemet...
yoyote Humu Angepangiwa IFM bila Kuichagua je ungejisikia Vizuri???
nilianza Na
Ardh cozi 3
IFM cozi 3
na SAUT cozi 2
Maajabu nimechaguliwa ya Mwisho yaani SAUT.... kilichoniudhi IFM wamekomba mpaka Watu Ambao Hawajakichagua Mamamamama hii Imenishangaza Sana inaonyesha Ni "Institute Of Failure Managemet...
yoyote Humu Angepangiwa IFM bila Kuichagua je ungejisikia Vizuri???