Feedback
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 7,988
- 4,507
Ndugu wana jamvi wenzangu ni jambo la kumshukuru Mungu kwa kuniwezesha kumaliza masomo yangu.
Nimepata 'Merit' in Msc. Operations Research and Statistics.
Kwenye hii course tulikuwa wanafunzi 15 toka mataifa mbalimbali Mtanzania nikiwa pekeyangu.
Mmoja tu ndiye aliyepata Distinction, mmoja Merit ambaye ndiye mimi waliobaki wote PASS kweli Mungu ni mkuu.
Sasa narudi nyumbani tusaidiane kuikomboa nchi hakuna kulala hadi kieleweke.
Nimepata 'Merit' in Msc. Operations Research and Statistics.
Kwenye hii course tulikuwa wanafunzi 15 toka mataifa mbalimbali Mtanzania nikiwa pekeyangu.
Mmoja tu ndiye aliyepata Distinction, mmoja Merit ambaye ndiye mimi waliobaki wote PASS kweli Mungu ni mkuu.
Sasa narudi nyumbani tusaidiane kuikomboa nchi hakuna kulala hadi kieleweke.