Fasouls
JF-Expert Member
- Jun 24, 2011
- 939
- 316
Ilikuwa ni tar 01/03/12 siku niliyokutana nae rasmi hapo jf,nilifurahi sana na yeye vilevile kwan tuliona kama ni ndoto.
Malengo yetu yalikuwa ni kuoana na alisisitiza sana tusifanye mapenzi mpaka ukifka mda flani.
Sasa juzi tuliamua kwenda kutulia maeneo flani kwa kuwa wkend ilikuwa imeanza ikabidi tuchukue chumba ilituondoke kesho yake,tuliendelea na mazungumzo kama kawaida ila baadae hali ilianza kubadilika,ila aliendelea kusisitiza tusifanye kitu chochote,ila kwa jinsi alivyokuwa nakaisi kama ananitega basi IKABIDI NILALE NAE,kumalza tu alilia sana na kusema huo ndio ulikuwa mwanzo na mwisho wa mimi kumuona!
Kweli kwan mpaka sasa hapokei simu yangu wala kureply msg zangu ila ananitumia sms kwamba ANITAKI TENA.moyo unauma sana kwan nilimpenda na kumzoea pia,
Nimejaribu kumwambia dada yake aniombee msamaha ila haijasaidia.
Naombeni ushauri wenu kwan nampenda!
Malengo yetu yalikuwa ni kuoana na alisisitiza sana tusifanye mapenzi mpaka ukifka mda flani.
Sasa juzi tuliamua kwenda kutulia maeneo flani kwa kuwa wkend ilikuwa imeanza ikabidi tuchukue chumba ilituondoke kesho yake,tuliendelea na mazungumzo kama kawaida ila baadae hali ilianza kubadilika,ila aliendelea kusisitiza tusifanye kitu chochote,ila kwa jinsi alivyokuwa nakaisi kama ananitega basi IKABIDI NILALE NAE,kumalza tu alilia sana na kusema huo ndio ulikuwa mwanzo na mwisho wa mimi kumuona!
Kweli kwan mpaka sasa hapokei simu yangu wala kureply msg zangu ila ananitumia sms kwamba ANITAKI TENA.moyo unauma sana kwan nilimpenda na kumzoea pia,
Nimejaribu kumwambia dada yake aniombee msamaha ila haijasaidia.
Naombeni ushauri wenu kwan nampenda!