Halafu kwa mfano akishakubali?????
Atarudi hapa 2mpe hints jinsi ya kut*mba.
Atarudi hapa 2mpe hints jinsi ya kut*mba.
Kazana kupiga buku dogo utadisco
dogo we jitose tu kwani kibuti kinaua?mpeleke lunch mwaga sera zako....
man mwanaume wakwelii haogopii vibuti.mimii hadi leo na vibutiiii 450 na win 550 idadi ya kutongoza ni 1000,now ni mme iprove,ukipigwaa kibuti unajipaa changamoto na kujipangaa kwa style ingine.afuu kwanini usononeshe moyo wako sema kilichopo moyoni mchane live bilaa chengaaa,utazubaa wezako washapuu wabebe ubaki na jerahaa..bora sema mapema.then huyo demu sorry mwanamke unahisi anafeeling zozote juu yako usije kukosea kumbe mwanamke walaa hana wazo juu yako
kwanini?mbona una mawazo kama barafu?
Hahaha! Domo zeeegee mguse akupe cha mbavuu mwaka wa 3 hana m2 we chz
Mwanamke mtamu ni yule uliyemtongoza kwa maneno ya kinywa chako mwenyewe. Yaliyotoka moyoni mwako.
Jipange.
Hahaha! Domo zeeegee mguse akupe cha mbavuu mwaka wa 3 hana m2 we chz