jmosi nitakuwa hapo chuo, we nionyeshe huyo dame alafu niachie kazi yote
andaa kitu kama dola 70 hivi.
mambo ya kumpeleka dinner ni ya wazungu,.i jus need steps za kuchukua day by day na maneno ya kumwambia mpaka nifikie uwezo wa kumwambia nampenda
Nshakusoma na kukuelewa ni jinsi gani hujiamini miaka mitatu tuko pamoja hujalonga tu! Achana na mimi sio type yako.
nimetongoza mara 6 nmekubaliwa mara 1, na aliyenikubali hakua na tabia nzuri so nikamuacha
We utajitingozea bure halafu jamaa abaki anaumiajmosi nitakuwa hapo chuo, we nionyeshe huyo dame alafu niachie kazi yote
andaa kitu kama dola 70 hivi.
mambo ya kumpeleka dinner ni ya wazungu,.i jus need steps za kuchukua day by day na maneno ya kumwambia mpaka nifikie uwezo wa kumwambia nampenda
Masikini enzi zile za kuandika barua, unakaa nayo mfukoni mpaka inachakaa huthubutu kumpa. Sawa na vijana wa hizi wanaotembea na ndom mpaka zina"expire" bila ya kupata fursa ya kuitumia.una mtihani
moyo ukipenda mdomo hujaa mate
mwandikie barua labda.
Masikini enzi zile za kuandika barua, unakaa nayo mfukoni mpaka inachakaa huthubutu kumpa. Sawa na vijana wa hizi wanaotembea na ndom mpaka zina"expire" bila ya kupata fursa ya kuitumia.
Inaelekea foward line yako haijakaa vizuri!! au viungo ndio wanapwaya?!!
Masikini enzi zile za kuandika barua, unakaa nayo mfukoni mpaka inachakaa huthubutu kumpa. Sawa na vijana wa hizi wanaotembea na ndom mpaka zina"expire" bila ya kupata fursa ya kuitumia.
nimetongoza mara 6 nmekubaliwa mara 1, na aliyenikubali hakua na tabia nzuri so nikamuacha
nimetongoza mara 6 nmekubaliwa mara 1, na aliyenikubali hakua na tabia nzuri so nikamuacha
una mtihani
moyo ukipenda mdomo hujaa mate
mwandikie barua labda.