smati
Senior Member
- Dec 24, 2010
- 149
- 5
Jamani ni miezi michache iliyopita nilimwomba dada mmoja uhusiano na nilimpenda kweli. Akaanza malingo mara hapokei simu , mara majibu mkato etc. nilileta hapa jamvini watu wakasema hiyo ni dalili za kupigwa kibuti. siku moja nikamweleza ukweli kuwa kwanini anaifanyia hivyo. akaniambia yeye amesha pendwa . mikamwuliza kweli inatoka moyoni akasema kabisakabisa sinampango na wewe.
nikampigia siku ya pili kumjulia hali akaniambia analala kwa sababau tuu anahoma. nikampigia siku nyingine tena akaniambi hajeenda hata kanisani eti hajisikii vizuri. nikamwuliza isije ikawa umefanya maaumuzi yasiyo sahihi akanihakikishia homa yake haihusiani kabisa na uhusiano wetu.
Nikampigia tena siku nyingine hakupokea, nikajua kweli hapa sina changu.
Nikakaa kama siku ishirini akapiga simu eti kunisalimia. nikamwuliza hujambo , akaniambia ati bado anahoma na amekuwa na homa kwa muda mrefu toka anipige kibuti. baadaye akanieleza ukweli kuwa ni kwa sababu nilikuwa simpigii simu.
Nikamwuliza shemeji yangu aliye kupenda hajambo, ananiambia eti tumeachana na hayupo kabisa. na haraka akaniuliza kama nimesha pata mchumba??.
Nimeendelea naye lakini nakuta kama huu ni utoto. Nimfanyaje maana anaonyesha kunipenda lakini hataki nijue kuwa ananipenda.
msaada wenu wakuu maana simwelewi ,wanaojua kusoma mambo nielezeni.
asanteni.
nikampigia siku ya pili kumjulia hali akaniambia analala kwa sababau tuu anahoma. nikampigia siku nyingine tena akaniambi hajeenda hata kanisani eti hajisikii vizuri. nikamwuliza isije ikawa umefanya maaumuzi yasiyo sahihi akanihakikishia homa yake haihusiani kabisa na uhusiano wetu.
Nikampigia tena siku nyingine hakupokea, nikajua kweli hapa sina changu.
Nikakaa kama siku ishirini akapiga simu eti kunisalimia. nikamwuliza hujambo , akaniambia ati bado anahoma na amekuwa na homa kwa muda mrefu toka anipige kibuti. baadaye akanieleza ukweli kuwa ni kwa sababu nilikuwa simpigii simu.
Nikamwuliza shemeji yangu aliye kupenda hajambo, ananiambia eti tumeachana na hayupo kabisa. na haraka akaniuliza kama nimesha pata mchumba??.
Nimeendelea naye lakini nakuta kama huu ni utoto. Nimfanyaje maana anaonyesha kunipenda lakini hataki nijue kuwa ananipenda.
msaada wenu wakuu maana simwelewi ,wanaojua kusoma mambo nielezeni.
asanteni.