wahida
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 385
- 125
sikiliza mpenzi ni kwambie,, SAMAHANINI SANA WADAU KAMA NITAWAKERA ,napenda kutanguliza hilo kwanza ,, mimi ni muislamu na katika dini yetu ,mtume wetu muhammadi ,mke wake wakwanza kabla hajafa, yule mke ali mpenda muhammad s,aw kwanza ,na alitafuta ushauri kwa watu pia ,na aka elezwa kua amfate face 2face ,amwambie ili amuoe, na mungu aka watilia baraka walipo funga ndoa yule bib khadija yy alikua mkubwa ,kuliko muhammad ,lakin kutokana ni jambo la kheir ,allah ali mrejesha ujana, kwahivyo dear, kama una mpenda kwa maisha ya ndoa mwambie ,hiyo s vibaya, kusema neno ILOVEYOU haija hala lishiwa kwa man tu, ata sisi tuna weza kuambia ila pia,ila sio kwa pepo la zinaa,kwa jambo la kheir,na tumai uta nielewa ukisoma ,:A S 12: