Mmmmh, kweli wadogo zako wana dada
Hongera zao
Jaribu kumweleza mama yenu
Naye akishindwa kutoa ushauri
Mjue 'mfwile'
aisee...
kwani akimwambia huyo kanali
amsaidie bila kuvuliwa nguo ni ngumu saana?
hakuna watu woote wa kuwasaidia hata mkopo ili hiyo deadline isipite?
na ukivuliwa nguo na kanali na usipate hiyo fees je?
mbona wanawake weengi mnafikiri hizo k zenu ni assets?.......
muulize huyo mdogo wake first je yuko tayari dada yake akavuliwe nguo huko ili yeye asomeshwe????
@geneva of Africa, baba mngoni, mama mchagga
12/2/2012 is a deadline kulipa fee ili uruhusiwe kufanya mitihani pale CBE, mdogo wake kalazimika kurudi st Kanumba hii ni baada ya baba yao kufariki two years ago.
Huyu binti ana ofa ya kuwa hawala wa Kanali alijuana naye alipoenda kumtembelea classmate wake (nurse) kazini na kukuta akimuhudumia.
Nilimuuliza jamaa (KANALI ) ana ukimwi.... akanijibu her classmate (O-LEVEL swahiba) kamwambia kwa mujibu wa vipimo walivyonavyo jamaa hana ngoma.
Note: take home yangu 520 000 na nina wadogo kibao anajua sina namna ya kumsaidia kifedha labda kimawazo.
The Boss hii dunia iache tuu!
Kina dada wana attempt sana na inapofikia wakati mgumu binadamu hufanya lolote ili aishi. Hebu fikiria kibaka (mwanaume) anakaba kabari ili aishi. Huyo anatumia mikono. Je huyu kibaka angekuwa mwanamke angefanyaje? Si angeuza k yake?
hajashindwa kutoa ushauriMmmmh, kweli wadogo zako wana dada
Hongera zao
Jaribu kumweleza mama yenu
Naye akishindwa kutoa ushauri
Mjue 'mfwile'
jaman nielewenini umalaya plain and simple...
mshahara wa laki tano....unafikiria kutoa k ili ufanikiwe zaidi?
wasio na kazi je?
wenye mishahara ya la mbili na mke na watoto?
huo mshahara huwezi nunua charahani ukawa unashona nguo na kuuza
na kuongeza kipato?
huwezi kukopa kwa mshahara huo ukalipa kidogo kidogo....?
hapa ni njia ya kujustify umalaya tu..baasi....
1.mdogo wake huyo binti anayesoma CBE (JUST MY FRIENDS)Hebu nisaidie hapa Mary: Mdogo wake nani???................. then unasema, huyu binti....ni nani????...........
Hayo majibu ya vipimo vya huyo kanali ni vya lini???!!!.....kama mtu mwenyewe kila amuonaye anamtaka, utajuaje kama yuko salama kwa kuambiwa na mtu mwingine???!!!!......................
Heri ukakope pesa, kuliko kujidhalilisha hivyo.............Pole.
huyu kanali anataka hawara as mkewe yupo Mwanzaaisee...
kwani akimwambia huyo kanali
amsaidie bila kuvuliwa nguo ni ngumu saana?
hakuna watu woote wa kuwasaidia hata mkopo ili hiyo deadline isipite?
na ukivuliwa nguo na kanali na usipate hiyo fees je?
mbona wanawake weengi mnafikiri hizo k zenu ni assets?.......
muulize huyo mdogo wake first je yuko tayari dada yake akavuliwe nguo huko ili yeye asomeshwe????
jaman nieleweni
huyu binti ni rafiki yangu na hapa naizungumzia familia yao
huyu kanali anataka hawara as mkewe yupo Mwanza
kanali yupo Arusha so anaitaji huyu binti awe visiting friends
HIVI NIKIKWAMBIA NIMEMSOMESHA form six na first year by the time napata hela za DESI utanielewa????wewe sio rafiki yao,wewe ni adui wao...
msaada pekee ni kumkuwadia wanaume?
huwezi kumkopea kwa watu?
huwezi kumkopesha charahani ashone adundulize ajisomeshe mwenyewe?
na kama mtu hana hata shilingi,anawezaje kufanya application kwenye chuo?????????
bosi elewawewe unajali saana mahitaji ya kanali
kuliko ya huyo binti.......
na mkewe akirudi ghafla je?.....
HIVI NIKIKWAMBIA NIMEMSOMESHA form six na first year by the time napata hela za DESI utanielewa????
Huyu binti ananiheshim as anajua mchango wangu yeye kufika hapo alipo, pamoja tumepishana miaka mitatu tu lakini aliwahi kuniambia mimi ni kama mama yake.
Wewe mwenyewe unajua huko anakotaka kwenda sio salama, jitahidi kumtafutia hata mkopo kwa ndugu, jamaa na marafiki zako nna hakika hutakosa Marytina. Mungu atakulipia. Hongera kwa hicho kidogo ulichoweza kumsaidia mpaka sasa, usimwache aangukie mikononi mwa wakware sababu ya shida alizonazo...HIVI NIKIKWAMBIA NIMEMSOMESHA form six na first year by the time napata hela za DESI utanielewa????
Huyu binti ananiheshim as anajua mchango wangu yeye kufika hapo alipo, pamoja tumepishana miaka mitatu tu lakini aliwahi kuniambia mimi ni kama mama yake.