Pindima
JF-Expert Member
- Aug 16, 2011
- 347
- 81
- Thread starter
- #21
Habari yako kwanza!!
Kaka hayo ni majaribu tu ya Shetani. Hakuna kisichowezekana kama kweli una nia ya dhati, inabidi ujue kuwa huyo sio wako ni mchumba wa mtu tayari na achana na habari za kuusingizia moyo.
Inatakiwa maamuzi yako yashinde tamaa hapo ndipo utafanikisha hilo lengo la kuachana vinginevyo mtandelea tu. Ebu jiulize kama huyo jamaa ndo angekuwa wewe halafu yeye ndo angekuwa anakumegea demu wako, how cud u feel?
Mnapotezeana muda tu, kwanini usingetumia muda huu kutafuta wako wa kweli ambaye mtakuwa free kufanya mambo yenu maana hofu yangu ni siku jamaa atakapogundua halafu na yeye akukamate akukamue, utalalamika?
Achana na huyo dmu mkuu. HUU NI USHAURI WANGU!!
Asante ndugu itabidi niushinde moyo!!