Nashindwa kumsahau mchumba wa mtu!!

Habari yako kwanza!!

Kaka hayo ni majaribu tu ya Shetani. Hakuna kisichowezekana kama kweli una nia ya dhati, inabidi ujue kuwa huyo sio wako ni mchumba wa mtu tayari na achana na habari za kuusingizia moyo.
Inatakiwa maamuzi yako yashinde tamaa hapo ndipo utafanikisha hilo lengo la kuachana vinginevyo mtandelea tu. Ebu jiulize kama huyo jamaa ndo angekuwa wewe halafu yeye ndo angekuwa anakumegea demu wako, how cud u feel?

Mnapotezeana muda tu, kwanini usingetumia muda huu kutafuta wako wa kweli ambaye mtakuwa free kufanya mambo yenu maana hofu yangu ni siku jamaa atakapogundua halafu na yeye akukamate akukamue, utalalamika?
Achana na huyo dmu mkuu. HUU NI USHAURI WANGU!!

Asante ndugu itabidi niushinde moyo!!
 
Kaka nahis wewe unaweza kunielewa!! hapa tatizo ni moyo hautaki kukubali matokeo!! tumejaribu kutokuwasiliana ila imeshindikana!! sasa tufanye nn?!!

Umesema kuwa ni mchumba wa mtu.....sasa basi kama ni mchumba na bado anadai anakupenda na wewe unampenda, na kwa kuwa wewe huna mchumba, basi nakushauri kwamba auvunje huo uchumba wake ili muwe wote. Kwa kusema ukweli hakutenda haki pale alipoamua kupeleka mchumba mwingine

Kupendana ni lazima kuwe na hisia za kufanana, kwamba wote mnaamini katika kitu kimoja: Upendo.

Kama anakupenda, mshauri ajitoe huko kwen uchumba

Kazi na kipato vitakuja tu, awe mvumilivu kwanza
 
Tulikua wapenzi kwa muda mrefu ila kulitokea kutokuelewana kwenye mwezi wa 2, kwa kushindikizwa na familia yake wakaamua kukubali posa ya mtu mwengine! Ila sasa mapenz yamerudi tena kwa kasi kubwa mimi kumuoa siwezi kwasasa kwasababu maisha hayaruhusu!! Sasa tatizo tunajiona ni wakosaji kwa mungu na kwa huyo mchumba wake,kiukweli tumeamua tuwe marafiki tu lkn mioyo haikubali!! Tafadhalini tupeni ushauri wa kusahauliana kwan tuyatendayo si haki!!
mwana we gonga tu
 
Back
Top Bottom