Pindima
JF-Expert Member
- Aug 16, 2011
- 347
- 81
Tulikua wapenzi kwa muda mrefu ila kulitokea kutokuelewana kwenye mwezi wa 2, kwa kushindikizwa na familia yake wakaamua kukubali posa ya mtu mwengine! Ila sasa mapenz yamerudi tena kwa kasi kubwa mimi kumuoa siwezi kwasasa kwasababu maisha hayaruhusu!! Sasa tatizo tunajiona ni wakosaji kwa mungu na kwa huyo mchumba wake,kiukweli tumeamua tuwe marafiki tu lkn mioyo haikubali!! Tafadhalini tupeni ushauri wa kusahauliana kwan tuyatendayo si haki!!