kamangaza25
Member
- Apr 11, 2011
- 41
- 20
Jamani naomba kuuliza, hivi mungu anaweza kumwambia mke wako wa ndoa iliyo dumu mwaka mmoja eti akuache kwa kumuotesha usingizini
Jamani naomba kuuliza, hivi mungu anaweza kumwambia mke wako wa ndoa iliyo dumu mwaka mmoja eti akuache kwa kumuotesha usingizini
"Kwa maana ndoto huja kwa sababu ya shughuli nyingi; na sauti ya mpumbavu kwa njia ya wingi wa maneno" Mhubiri 5:3Jamani naomba kuuliza, hivi mungu anaweza kumwambia mke wako wa ndoa iliyo dumu mwaka mmoja eti akuache kwa kumuotesha usingizini
Jamani naomba kuuliza, hivi mungu anaweza kumwambia mke wako wa ndoa iliyo dumu mwaka mmoja eti akuache kwa kumuotesha usingizini
vitoto vya balekhe vimeongezeka sana............... kuna haja ya teen forum aka club10
vitoto vya balekhe vimeongezeka sana............... kuna haja ya teen forum aka club10
Hayo ni matokeo ya tabia zenu za kulazimisha mapenzi(mtu hakufeel unajifanya kumrubuni mpaka akupende)ukijiliwaza eti with time atakupenda na maisha yatasonga,...maake siamini mwanamke mnayependana na kuheshimiana kuthubutu kukueleza upuuzi wa mambo kama hayo,...anyway hilo unalo mkuu_na inabidi utafakari na uchukue hatua...pole sanaJamani naomba kuuliza, hivi mungu anaweza kumwambia mke wako wa ndoa iliyo dumu mwaka mmoja eti akuache kwa kumuotesha usingizini