Kuna men tulikua tunapendena sana, ghafla akaniambia mi naona tuache kwanza kwa sasa maana mimi bado sijajiweka vizuri kimaisha kama imepangwa time will tellna aliniambia tu kwenye simu, nikajaribu kumwambia tuonane face to face tuongee haikuwezekana! nashindwa kuelewa atakua amepata mtu mwingine? lakini mimi bado nampenda na sielewi kama ananipenda au isu ni maisha anayaogopa? naomba ushauri niendelee na maamuzi mengine au vipi?