BornTown
JF-Expert Member
- May 7, 2008
- 1,716
- 481
Hii ni wazo langu binafsi na ninahisi na kushawishika kuwa jimbo la fisadi mvua gamba sasa litakwenda CHADEMA!
Sijui kwanini ninawaza hivyo tangu jana ninajiwa na ndoto hii kuwa jimbo la Igunga ninakwenda upinzani kwani wananchi sasa wamechoka na wanaona utetezi wa haki uko wapi.
Majimbo mengine ni yale la wenzake (Mapacha 3) mmoja kesha jivua gamba hao wawili nao wanajivua muda sio mrefu subirini muone!
na hayo majimbo yote yatakwenda CHADEMA.
Mafisadi ukiona mwenzio ananyolewa ............................................!!
Sijui kwanini ninawaza hivyo tangu jana ninajiwa na ndoto hii kuwa jimbo la Igunga ninakwenda upinzani kwani wananchi sasa wamechoka na wanaona utetezi wa haki uko wapi.
Majimbo mengine ni yale la wenzake (Mapacha 3) mmoja kesha jivua gamba hao wawili nao wanajivua muda sio mrefu subirini muone!
na hayo majimbo yote yatakwenda CHADEMA.
Mafisadi ukiona mwenzio ananyolewa ............................................!!