Kowero Fredy
Member
- Apr 30, 2011
- 33
- 2
Nashangaa sana kwa nini wanaume tumefika hatua ya kuwaita wasichana ni mapepo,viburudisho,na majina mengi mno ya ajabu.sababu kubwa ni kuwa tulishawai kutendwa hapo nyuma.swal langu ni ili IWEJE MUNGU ATUUMBIE MAPEPO YA KUTUSUMBUA WAKATI KWA WATU WA IMANI WANATAMBUA KUWA HAWA WANAWAKE NI KAMA WASAIDIZI KWETU?