Tripo9
JF-Expert Member
- Sep 9, 2009
- 4,352
- 3,533
Kuna watu nimepata habar za uhakika wanasoma TIA (Tanzania Institute of Accountancy) Mbeya branch 1st year wanasomea diploma ya Accountancy na wakati A-level walisoma HKL.
Elimu ndo imebadilika hivi siku hizi? Au mimi nimeshazeeka sijui mambo ya generation Y tena!
Nishangae mwenye au twashangaa wote?
Elimu ndo imebadilika hivi siku hizi? Au mimi nimeshazeeka sijui mambo ya generation Y tena!
Nishangae mwenye au twashangaa wote?