Ndio siogopi mtu hasa ktk swala ninalo ona linalenga kuninyima haki yangu kama mtanganyika hata kama nimezaliwa ndani ya inayo itwa Tanzani.Ngoja niwaambieni ndugu zangu wana wa JF mimi nimebahatika kuiona katiba ya nchi yangu ya Tanganyika,Japo kwa mbinde lakini nimeipata na nafanya mpango wa kuiweka wazi ktk ukurasa wetu wa JF.Nilrudi kwenye hoja=:haiwezekani mtu mmoja anakaa nyumbani kwake au ofisini kwake na kutuamlia mambo gani tuyaseme na yapi tusiyaseme? inauma na inakera kujifanya wewe ndio mwenye hati miliki ya watanzani,naomba niseme kuwa mimi ni miongoni mwa WATANGANYIKA wanao dai TANGANYIKA yao, hivyo nawaomba watanganyika wenzangu tuungane kuidai Tanganyika yetu kumbukeni kuwa sheria ya nchi inatutaka tusizungumie MUUNGANO kwa nia ya kuuvunja ila kwa nia ya kuuboresha.
Sasa kama hivyo ndivyo njooni tuungane kudai Tanganyika yetu jukuumu hili tusiwaachie wana UAMSHO pekee walioko visiwani,kwani kukaa kimya kwetu kunaonyesha kuwa sisi tumeridhika na huu mungano wa upande mmoja.Hii itatufanya tuamue mstkabari wetu juuu ya maisha ya watoto na wajukuu wetu, kwa kuiambia tume ya katiba mpya kuwa tuna itaka Tanganyika kama ilivyo nzanzibar maana hatuwezi kuzungumzia katiba ya muungano wakati sisi katiba yetu imefukiwa ndani ya aridhi. TUAMKENI
NAOMBA KUWASILISHA
Sasa kama hivyo ndivyo njooni tuungane kudai Tanganyika yetu jukuumu hili tusiwaachie wana UAMSHO pekee walioko visiwani,kwani kukaa kimya kwetu kunaonyesha kuwa sisi tumeridhika na huu mungano wa upande mmoja.Hii itatufanya tuamue mstkabari wetu juuu ya maisha ya watoto na wajukuu wetu, kwa kuiambia tume ya katiba mpya kuwa tuna itaka Tanganyika kama ilivyo nzanzibar maana hatuwezi kuzungumzia katiba ya muungano wakati sisi katiba yetu imefukiwa ndani ya aridhi. TUAMKENI
NAOMBA KUWASILISHA