Dullo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2009
- 251
- 64
Kama wameshindwa kwa miaka 50, wataweza leo? Nassari Goo!Hao wamekuja kusikiliza porojo, wanajuwa kabisa kuwa chadema hawana sera ya kuitekeleza Arumeru, watatekeleza kipi wakati Serikali ni ya CCM?
Hapo sasa!