Mbu acha kusoma pembeni ya mistari...soma mistari tu inatosha....hiyo inaitwa kutupa jiwe kundini! lol...!Aheri mbu niendelee kubakia annonymous kwakweli.Anyway,...Aspirin ametutahadharisha sredi hii inawahusuwaliooa na wasioolewa.
Hahahahaha......... acha woga wewe...... ukiamua bazazi unatakiwa uendelee kuwa bazazi kwa ujasiri......
Umbea huu sasa........!
Hahahaaa!Wapi? Kitandani, Lini? Juzi juzimimi natilia mashaka utafiti wa wazee kama huu.....hivi kuna aliye muuliza babu ODM kuwa mara ya mwisho kutumia ndom ilikuwa lini na wapi?
Kizibia pancha.ODM si bazazi!............ na ndom ndo nini sanasana?
EwaaaaaaaaaaaaaaaaUnakuta mtu anacheat, huyo anaye-cheat nae pia anacheat ambaye vie vile anachitiwa na mpenzi/mwandani wake..yani inakuwa cheat bin cheat mpaka circle haieleweki..
vyema ni kutuliza kitenesi, gonjwa likija halina huruma..watu wanabaki kumsingizia shetani na majuto ya hali ya juu!!..Thanks babuuu!!
Unashindwaje kuwa mwaminifu? Kuna ugumu gani hapo?EwaaaaaaaaaaaaaaaaThats my gelo.......... sasa waambie kama wameshindwa kuwa waaminifu watumie vitendea kazi!
Na tangu uanze kuchiti umenufaika nini? Bado unatamani na vingine na vingine na kushawishika tena na tena?Tamaa, vishawishi, mapepo, ibilisi nk nk nk
Habari ake bana.Asee, hebu leta ujira mwiha kwa kuwa mlinzi dhabiti ambaye sio bazazi.U know wara i mean!
Mbu acha kusoma pembeni ya mistari...soma mistari tu inatosha.
Kwa kuwa sisi si watakatifu, ukiacha mwanya wa udhaifu, udhaifu utageuka uhalifu, na dhahiri maovu yatakifu, unaanza na mwanya mdogo mwisho unakuwa kibogoyo kabisa katika nyanya zote.
Hahahaaa!Wapi? Kitandani, Lini? Juzi juzi
ODM si bazazi!............ na ndom ndo nini sanasana?
Pole na machungu bana, lakini sio wote wako hivyo.
Bado kuna waaminifu wachache waliobakia aisee.
Ewaaaa!!! Mbu tuko pamoja sasa.....
...mnh,...nahisi kuna tofauti ya ku cheat na extramarital affair.
Aspirin, tukumbushe somo hapa la kiapo cha ndoa.
Kuna viapo vinatoa mianya ya 'kusaidiwa.'
Na tangu uanze kuchiti umenufaika nini? Bado unatamani na vingine na vingine na kushawishika tena na tena?