Napinga kwa nguvu zote CHADEMA kutokata rufaa

Maelezo ya mtoa hoja yamekaa vizuri na kwa wale wanomsikiliza Lema sasa hivi maelezo yake yanalandana kabisa ma maelezo ya mtoa hoja. Lema yuko tayari kukata rufaa. Sasa hivi Mwenyekiti wa Chadema Mhe. Mbowe ataingia kuongea pia. Lema anaeleza zaidi kuwa yeye bado ni Mbuge na wananchi waendelee kupeleka malalamiko yao wakimkosa ofisini wamtafute hadi nyumbani kwake.
 
Hapo bwana Lema akubali kutolewa kafara ili cdm tuchukue jimbo, yeye atabaki kwenye vitabu vyetu vya mashujaa wa cdm
 
Hongera mleta mada kwa ushauri wako mzuri wa kizalendo.Umekisaidia sana cdm kwa mawazo yako ya kujenga.Mungu akubariki
 
Mh nakubaliana na wewe kabisa, pia naomba kuongeza juu ya mapungufu niliyoyaona juu ya hukumu hii
"walalamokaji walidai kumsikia Mh Lema alisema Dr. Batilda sio mwaminifu ndio maana alichepuka na mimba ya Mh Lowasa" na amehukumiwa kwa kosa hili. sasa mapungufu ya kisheria ktk kosa hili
1)Kama Mh Lema alisema, hiyo ni tuhuma, third part (walalamikaji) wanaweza kulalamika, lakini wenye nguvu kisheria kuthibitisha au kupinga ni Batilda/Lowasa. Haiwezekani Judge akubali maelezo ya third part, bila mlengwa mwenyewe kuhojiwa mahakamani au kufikisha maelezo (Affidavit) kupinga tuhuma dhidi yake.
2) Kama Lowasa/Batilda hawakuthibitisha au kukanusha tuhuma zilizotolewa, Mh Lema ana haki ya kusema alichosema. Uongozi ni dhamana, wananchi tuna haki kujua wasifa wa mgombea (professional and personal) kabla sijakuajili. Alichosema Mh Lema itasimama kuwa Fact, mpaka walengwa watakapopinga.
3)Walamikaji walishindwa kufikisha tangible evidence (Video/Audio tape) to support maelezo yao. Sasa Judge alitumia miujiza gani kuamini kilichosemwa ni kweli?

Kwa hukumu hii, Tanzania haina Rais, tukumbuke 2010 ccm wote, JK na familia yake walimkashifu Dr. Slaa na mchumba wake hadharani sawa na kifungu kilichotumiwa kumuangamiza Lema.

Hukumu hii haiitaji LLB au Certificate kujua ni upuuuuzi, nashangaa nini kinachowaogopesha magwiji wetu wa sheria kujitosa deep kuiteketeza neno by neno.
 
Back
Top Bottom