crome20
JF-Expert Member
- Feb 5, 2010
- 1,130
- 721
Kumekuwa na hoja nyingi za baadhi ya wadau wa kiswahili kuishawishi serikali kufuta kiingereza iwe lugha ya kufundishia hadi VYUO VIKUU na ibaki lama lugha ya kawaida kwa madai kuwa mtu anaelewa zaidi anapofundishwa na lugha anayoifahamu kwa ufasaha. Napinga hatua hii kwa sababu:
1. Tunakwepa kuwajibika kwa kushindwa kufundisha kwa ufasaha Kiingereza, sasa tunakimbilia kiswahili. Tuwajibike, ni rahisi tu, kuwa na walimu wa kutosha wenye motisha na kufundisha kiingereza kama enzi za mkoloni tatizo litaisha. Ni UVIVU tu wa kuona umeshindwa A unakimbilia B. tusikimbie tatizo na kujificha kwenye kishwahili. Mbona wenzetu majirani wanaweza?
2. Kuwa na uwezo wa kumudu lugha zaidi ya moja ( multlingual) ni sifa ya ziada. Ninachoamimi ni kuwa kikiruhusiwa kiswahili tujue kiingereza basi kimekwisha pamoja na kujinasibu kuwa kiingereza kitaendelea kufundishwa Ni siasa tu Watanzania nawafahamu wanapenda mteremko.
3. Angalia Rwanda pamoja na kifaransa chao wanatumia KIINGEREZA sasa kama lugha ya taifa, ni rahisi kufundisha kiingereza sasa kuliko kuhangaika kutafisiri taaluma kwa kiswahili kitu ambacho kitatuchukua miaka mingi na hatimaye utakuta kiswahili kina mambo tele mapya. Fikiria katika computer, keyboard inaitwa baobonye. sasa tasfri kila kitu, kuanzia appilications, software zote, programing , networking n.k halafu uone kama kiswahili kitakuwa chepesi. Tunajidanganya.
4. Sekondari wanaongoza kufeli kiswahii kuliko Kiingereza.
Nawakilisha.
1. Tunakwepa kuwajibika kwa kushindwa kufundisha kwa ufasaha Kiingereza, sasa tunakimbilia kiswahili. Tuwajibike, ni rahisi tu, kuwa na walimu wa kutosha wenye motisha na kufundisha kiingereza kama enzi za mkoloni tatizo litaisha. Ni UVIVU tu wa kuona umeshindwa A unakimbilia B. tusikimbie tatizo na kujificha kwenye kishwahili. Mbona wenzetu majirani wanaweza?
2. Kuwa na uwezo wa kumudu lugha zaidi ya moja ( multlingual) ni sifa ya ziada. Ninachoamimi ni kuwa kikiruhusiwa kiswahili tujue kiingereza basi kimekwisha pamoja na kujinasibu kuwa kiingereza kitaendelea kufundishwa Ni siasa tu Watanzania nawafahamu wanapenda mteremko.
3. Angalia Rwanda pamoja na kifaransa chao wanatumia KIINGEREZA sasa kama lugha ya taifa, ni rahisi kufundisha kiingereza sasa kuliko kuhangaika kutafisiri taaluma kwa kiswahili kitu ambacho kitatuchukua miaka mingi na hatimaye utakuta kiswahili kina mambo tele mapya. Fikiria katika computer, keyboard inaitwa baobonye. sasa tasfri kila kitu, kuanzia appilications, software zote, programing , networking n.k halafu uone kama kiswahili kitakuwa chepesi. Tunajidanganya.
4. Sekondari wanaongoza kufeli kiswahii kuliko Kiingereza.
Nawakilisha.